Ta Ha 20:103 يتخافتون بينهم ان لبثتم الا عشرا ١٠٣
يَتَخَٰفَتُونَ
بَيۡنَهُمۡ
إِن
لَّبِثۡتُمۡ
إِلَّا
عَشۡرٗا
١٠٣
Watanong'onezana wao kwa wao: Hamkukaa ila siku kumi tu.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Huku wakinong’onezana baina yao na wakiambiana wao kwa wao, «Hamkukaa kwenye uhai wa ulimwenguni isipokuwa siku kumi.